Waadhola

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Nenda kwa urambazaji Nenda kwa kutafuta

Waadhola (pia: Jopadhola; kwa lugha yao: Abakiga, yaani watu wa mlimani) ni kabila la Waniloti wanaoishi mashariki mwa Uganda (Wilaya ya Tororo) walipohamia katika karne ya 16.

Lugha yao ni Kiadhola (Dhopadhola), mojawapo kati ya lugha za Kiniloti.

Makala hii kuhusu mambo ya utamaduni bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Waadhola kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.