Uislamu nchini Togo
Nenda kwa urambazaji
Nenda kwa kutafuta
Uislamu kwa nchi |
Waislamu nchini Togo wanawakilisha kati ya asimilia 12 na 20 ya idadi yote ya wakazi wa taifa hilo. Uislamu umekuja nchini Togo sawa jinsi ulivyokuja zaidi huko Afrika Magharibi. Sehemu ya Waislamu wa Togo ni wafuasi wa dhehebu la Sunni wanaofuata mafundisho ya imamu Maliki.[1]
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ CIA=Togo
Makala kuhusu Uislamu kwa nchi bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |