Mto Luiche (Kigoma)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Nenda kwa urambazaji Nenda kwa kutafuta

Mto Luiche (Kigoma) ni kati ya mito ya mkoa wa Kigoma (Tanzania Kaskazini-Magharibi).

Maji yake yanaelekea Ziwa Tanganyika, mto Kongo na hatimaye Bahari ya Atlantiki.

Viungo vya nje

[hariri | hariri chanzo]

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]