Bertulfi
Nenda kwa urambazaji
Nenda kwa kutafuta
Bertulfi (alifariki Bobbio, Italia, 19 Agosti 640[1]) alikuwa mfuasi wa Kolumbani huko Luxeuil, alipojiunga baada ya kuingia Ukristo kwa kuguswa na maisha ya jamaa yake, askofu Arnulfo wa Metz[2].
Huko alikutana na Atala aliyekubaliwa kwenda naye katika monasteri mpya huko Bobbio[3]. Atala alipofariki, wamonaki wote kwa kauli moja walimchagua Bertulfi kuwa abati wao wa tatu, akawaongoza kwa miaka 17 hadi kifo chake [4].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 19 Agosti[5].
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ Odden, Per Einar. "Den hellige Bertulf av Bobbio (d. 640)", Den katolske kirke, February 17, 2009
- ↑ Ott, Michael. "St. Bertulf." The Catholic Encyclopedia Vol. 2. New York: Robert Appleton Company, 1907. 13 April 2020Kigezo:PD-notice
- ↑ Kardong, Terrance G., Saint Columban: His Life, Rule, and Legacy, Liturgical Press, 2018, p. 37ISBN 9780879071707
- ↑ http://www.santiebeati.it/dettaglio/66810
- ↑ Martyrologium Romanum
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- Yona wa Bobbio, Vita Sancti Columbani et discipulorum eius, Ufaransa, 642 hivi, kitabu II, sura XXIII.
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |