Kimiju-Mishmi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Nenda kwa urambazaji Nenda kwa kutafuta
The printable version is no longer supported and may have rendering errors. Please update your browser bookmarks and please use the default browser print function instead.

Kimiju-Mishmi (au Kimiju) ni lugha ya Kisino-Tibeti nchini Uhindi na Uchina inayozungumzwa na Wamiju-Mishmi. Nchini Uchina lugha hujulikana kama Kikaman (pia Kigeman) au Kideng. Mwaka wa 2006 idadi ya wasemaji wa Kimiju-Mishmi nchini Uhindi imehesabiwa kuwa watu 18,000. Pia kuna wasemaji 200 nchini Uhcina (1999). Kufuatana na uainishaji wa lugha, Kimiju-Mishmi iko katika kundi la Kimijish.

Viungo vya nje

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kimiju-Mishmi kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.