Gastro-enterolojia

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Nenda kwa urambazaji Nenda kwa kutafuta
The printable version is no longer supported and may have rendering errors. Please update your browser bookmarks and please use the default browser print function instead.
Mfumo wa mmeng'enyo wa chakula

Gastro-enterolojia (kutoka Kigiriki kupitia Kiingereza gastro-enterology) ni tawi la elimu ya tiba linalohusu magonjwa ya mfumo wa mmeng'enyo wa chakula. Inaangalia ogani za mwili kuanzia mdomo hadi mkundu.

Magonjwa yanayoangaliwa mara kwa mara ni kwa mfano

Makala hii kuhusu mambo ya tiba bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Gastro-enterolojia kama sababu yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.