Malo Gusto

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Pitio kulingana na tarehe 05:59, 1 Septemba 2024 na Riccardo Riccioni (majadiliano | michango)
(tofauti) ← Pitio lililotangulia | Toleo la sasa (tofauti) | Pitio linalofuata → (tofauti)
Nenda kwa urambazaji Nenda kwa kutafuta
Malo Gusto (2022 akichezea Olympique Lyonnais)

Malo Arthur Gusto (alizaliwa Mei 19, 2003) ni mchezaji wa kulipwa wa mpira wa miguu anayeichezea timu ya Chelsea FC pamoja na timu ya taifa ya Ufaransa.

Malo Gusto anacheza nafasi ya mlinzi wa kulia, japo huwa anacheza kwa ufanisi nafasi ya mlinzi wa kushoto, kiungo wa kati na winga wa upande wa kulia au kushoto.

Kabla ya kujiunga na Chelsea mwaka 2023, Malo Gusto alichezea timu ya Olympique Lyonnais ya nchini Ufaransa.

Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Malo Gusto kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.